Alhamisi, 26 Oktoba 2017
JARIDA MAARUFU NIRIA LAMPA SHAVU PETER
Alhamisi, 21 Septemba 2017
NICKY MINAJ KAINGIZA RASMI BIDHAA YAKE YA LIPSTIC SOKONI
HIP HOP YANGU INAPEDWA KULIKO WANAOJIITA WANA HIP HOP; NAY
MADEE NA DOGO JANJA KUJA NA ALBUM YA PAMOJA ; MADO
Jumatano, 20 Septemba 2017
WASANII BONGO NA UPENDO WA MACHONI
LISU INABIDI APELEKWE MAREKANI; NYALANDU
Jumatatu, 17 Julai 2017
MCHORO WENYE DHAMANI KUBWA KUWAHI KUTOKEA DUNIANI
Kama wewe ni mbukuzi kama mimi hapa nadhani ushawahi kusikia au kuona (kwenye runinga) mchoro maarufu wa MONALISA mchoro wenye dhamani kubwa sana Dunia nzima ambao watu husafiri kutoka nchi mbali mbali kwenda kuuona nchini ITALY katika makumbusho ya LOUVRE ambapo unadhamani ya Dolla millioni 785 iv , ni pesa nyingi sana , na watu mbali mbali husafili kwenda Ufaransa kuuona , una ulinzi wa Hali ya juu kwani watu kadhaa walijalibu kuuiba miaka ya nyuma . Mchoro huu ndo mchoro maarufu sana kuwahi kutokea Duniani ..
HISTORIA FUPI
Mchoro wa MONALISA ulichorwa na Leonardo Da Vinci raia wa Italy aliezaliwa 15.4.1452 hukoo nchini Italy , Leonardo ni moja ya watu makini kuwahi kutokea duniani kwani ana nadhalia zake ambazo mpaka kesho zinatumiwa sana duniani , hakuwa tu mchoraji pia alikua Mwanasayansi, Mwanahisabati, Mwanamuziki, na fani nyingine mbali mbali ndo maana wahenga kama mimi tunamuona ni moja ya ma geneus kuwahi kutokea , ikumbukwe Leonardo ndo mtunzi au msimamizi wa Nadhalia ya sayansi ya kitu kupaa angani bila kushika mahali na ndo maana hufananishwa sana na watu kama Isaac Newton, Albert Einstein, Galileo Socrates n.k Uchoraji wa picha ya MONALISA ulianza mwaka 1503 mpaka 1506 , alipoukamilisha kwa kiasi kikubwa sana , mnamo mwaka huo huo alihamia Ufaransa na kuendelea na makazi yake kule , mchoro wa MONALISA haukua mchoro wa siku wiki au mwez ulichukua mda sana , kwakua Mchoraji Leonardo alikua akijihusisha na mambo mengi ilimchukua mda sana na inaaminika ndo sababu ya picha kua nzuri adi kesho kutwa kwani ilichukua mda sanaa. Mnamo tarehe 2.5.1519 umauti ulimfika Leonardo Da Vinci mchoraji wa mchoro wa MONALISA ulikua wakawaida sana ila vitu vilivyofanya mchoro huu kua special ni kutokana na mtu mwenyewe aliemchora kua special sana katika maisha ya kawaida ..
Baada ya miaka 300 baada ya kifo cha Leonardo picha ilianzakujipatia umaarufu mkubwa sana kutokana na ustadi uliokua umetumika kuichora picha ile ule upekee wa picha na uhalisia uliifanya picha ile kuonekana special sana karne ya 19 watoto wa wafalme mbali mbali duniani waliitumia picha ile km mifano ya wanawake ambao wanatamani kuwaowa .
Salai mwanafunzi wa Leonardo alitumia picha ile kujipatia kipato kwa kuionyesha sehemu mbali mbali mnamo karne ya 19 watu mbali mbali walisafiri kwenda kuiona picha iyo ilizidi kujipatia umaarufu mwaka 1963 Rais wa Marekani kwa kipindi kile John F. Kennedy aliiomba picha iyo iende marekani na ililindwa sn na kukatiwa bima ya dolla million 600 , iliwasili nchini Marekani Washingtoni DC na watu na misululu miref ilisimamwa pale watu kuishika tu na kila mtu aliishika kwa sekunde 15 tu . Mwaka 1964 nchi kama Japani na USSR ,nazo zilizidi kuipa umaarufu sana picha ile kwani ilitakiwa kuenda pia kwa nchi hizo.
UPEKEE WA PICHA
1;Ndo ilikua picha ya kwanza ya rangi kuchorwa kwakipindi kile miaka ilipo chorwa.
2; Ulikua ni mchoro mzuri wa mtu wakusadikika ambae kila mwanaume alitamani kua na Mwanamke kama yeye na wakati hakuwepo wala hakuwahi kutokea
3; Picha ya MONALISA ilimuonyesha mwanamke mzuri ila hakuwa na Nyusi wala kidani chochote ila alikua mzuri sana .
4;Mchoraji mwenyewe Leonardo Da Vinci alikua ni moja ya ma genious wachache kuwahi kutokea Duniani .
5; Ndo picha yenye dhamani kubwa Dunia nzima adi hii leo
Iliwahi kuibiwa mwaka 1856 ila waliipata 1857 na watu wengi waliona kua picha iyo inadhamani kubwa adi hii leo inaulinzi wa bullet proof ndani ya makumbusho ya Louvre Paris nchini Ufaransa .
By FOBES
ZIFAHAMU SEHEMU 5 JIJINI MWANZA ZENYE FURSA
Maendeleo jijini mwanza yanakua kwa kasi sana katika nyanja nyingi hasa kiuchumi na kijamii , maendeleo yanakua kwa kasi sana kila kukicha kwani Mwanza ya kitambo co sawa na Mwanza ya sasa mbali na Ziwa Victoria kua n moja ya vivutio vizuri kuwahi kuwepo jijini humo pia miundombinu imezidi kuboreshwa kila siku iendayo kwa Mungu . Ukirudi miaka mitano nyuma utakubaliana na mm kua Mwanza ya sasa imebadilika sana kwa nyanja mbali mbali barabara karbia zote mjini kati zina lami hali inayozidi kuunyanyua uchumi kwa kasi sana..
Upanuzi wa barabara mbalimbali kati kati ya jiji umezidi kupendezesha na kurahisisha usafili hali inayopelekea kukua kwa uchumi jijini hapa , upanuzi wa barabara nne makongoro mpaka Airport unazidi kunogesha maadhali ya jiji letu au upanuzi wa barabara tatu kati ya Mlango mmoja mpaka Igoma unazidi kufanya jiji kuonekana zuri kila kukicha. Leo ndugu yenu wa damu kabsa nmeamua kuwaleetea maeneo matano (5) ambayo ni vyepesi sn kuishi hasa mtu wa kipato cha kawaida au kipato cha chini . Ifuatayo ni list ya maeneo matano mepesi kuishi jijini Mwanza, na ntaanza na no 5 mpaka 1..
5: BUHONGWA
Hii ni seemu ya wilaya Nyamagana , pia ni kituo kikuu cha daladala zitokazo mjini kwenda Buhongwa , seem hii imechangamka sana pia inafursa za kazi na kujiajili.pia , kuna soko kubwa la mazao ya chakula na wakazi wengi wa eneo hili ni watu wa kipato cha chini kuanzia (500) unapata chakula na unaishi vizur ivyo kija yoyote , unaweza kuchukua km fursa iv ili kuendeleza harakati zako town...
4:IGOMA
Uku ni Wilaya ya Nyamagana kama kilometa 11 kutoka mjini kati , kuna machinjio kubwa Mwanza nzima ipo maeneo haya pia wepesi wa upatikanaji vitu ni mkubwa sn kwani kuna adi nguo za buku buku sharti nzuri tu unapata pia kuna uwepesi wa vyakula na fursa za ajira zipo nyingi sn kwani kuna viwanda vingi sn maeneo jiran km kijereshi na mnadani , mbali na fursa zilizopo pia ndo eneo ambalo linaongoza kua na wasukuma wengi sn jijini Mwanza , pia kuna mnada wa Ng"ombe na Mbuzi hali inayofanya pazidi kua na fursa nying za ajira , Vyumba adi elfu kumi unapata so km umechoka kukaa kwa Mama ni moja ya maeneo mazur sana kwa kuanzia maisha kwani kuna wepesi wakuishi ...
3:PASIANSI NA MABATINI
Pasiansi ipo wilaya ya Ilemela ni eneo la makutano ya Kiloleli , Airport na Mjini kati kuna mihangaiko mingi sn usiku na mchana pia ni sehemu nyepesi kuishi kwani kuna miundombinu inayowakutanisha watu pamoja pia kuna Hotel kubwa km Lenana ambayo ni nyota tano , Mabatini ni km Kilometa 2 iv kutoka mjini ni sehemu nzuri kuishi kwa kipato chakuanzia maisha pia ni sehemu nzuri kuwekeza kama una mtonyo ivi,, maisha yanawepesi sn kwani ata elfu kumi unapata chumba , so mdau ukimchoka mama.njoo uku kwetu, Ndo maana sisi tunapaita Califonia kwani pako km blooklyne iv au Los Angels
2:KIRUMBA
Eneo lipo maeneo ya Ilemela karbu kabsa na Ziwa victoria Km 2 kutoka mjini kati mbali ya kua ndo eneo ilipo soko kubwa la samaki jijini Mwanza ila pia ndo eneo lenye Garage nyingi na Hotel nying sn Kirumba huchangamka 24/7 , yaani masaa 24 ndani ya siku 7 za wiki kwa Mwanza hili ndo eneo ambalo la kwanza kwanza kua na Hotel na Disco la kisasa kabsa maeneo kama Villa Park Resort La kailo ni moja ya sehemu nzuri kabsa za starehe kuanzishwa jijini hapa km umefika mwanza na una weweseka pakuwekeza njoo uku panakufaaaa sn....
Namba 1 ni NYAKATO NA NYEGEZI Nyakato ni sehemu iliyochangamka sn jijini Mwanza mishemishe za hela ni kubwa na nyingi sana kwani wingi wa watu hufanya paonekane kama mbele yaani kuna stand kubwa ya magar ya mkoani pia kuna miundombinu mizuri kwani kuna barabara ya makutano kati ya Musoma , Mjini kati na Kilimahewa , ni moja ya sehemu nzur Mwanza, Nyegezi ni moja ya sehemu zilizochagamka kuanzia watu wenyewe na fursa zilizopo kuna stand ya magari ya mkoani hali inayoiyfanya kua na fursa nyingi sn za kujiajili na kuishi hasa km ni kijana unaeanza maisha, Kama mgeni lazma uenjoy sn au hata mwenyeji .
Kama ni mgeni jijini au mwenyeji najua ukifika maeneo hayo lazma ukubakiane na mimi , yapo maeneo mengi sana ila haya ni baadhi tu ya maeneo ambayo mimi nayakubali cku zote
Ijumaa, 3 Februari 2017
NYERERE NA UJAMAA UBEPARI NA MAGUFURI
Mambo mengi yametokea toka nchi ya Tanzania ipate Uhuru, Mwalimu J. K. Nyerere alikua mkombozi mzur sana katika Taifa letu na tunamshukulu sana kiukweli mazuri ni mengi sana aliyotufanyia, nchi yetu toka kwa Uingereza disemba 9,1961, ilikua n mapinduzi ya Amani kabsa na yalikua ni makubaliano baina ya Mwalimu J, k Nyerere na Malkia wa Uingereza kua ikifka Tarehe 3 12 1961, atakabidhi nchini ya Tanzania kwa Wa Tanzania Mwalimu alijitahidi sana kutuandaa,, kwa kuzunguka nchi nzima, kuakikisha, tunajiandaa VYEMA kupokea Uhuru wetu na kujiendesha wenyewe ikumbukwe Adi Tanzania inapata Uhuru ilikua na wasomi 15 tu, km watu waliosomea vitu mbali mbali na pekee ambao walikua wanaweza kuandika na kuongea kiingereza vizuri...
Ilikuepuka mambo ya ujamaa ilimpidi Mwalimu kuanzisha vijiji vya ujamaa nakujitegemea kuepuka watu kijitenga na kujibagua pia ilimbidi atumie kiswahili km lugha ya Taifa letu kwani Tanzania kuna makabila zaid ya 120, ambapo kila kabila lina lugha yake na ustaalabu wake, pengine asingetumia lugha moja na sisi leo tu ngekua kama Nchi nyingne zinazopambana kisa ukabila au, aliweka sera pia ya kumruhusu kila raia kua na changuo la dini pia, kila mwanafunzi alitakiwa asome mkoa wa mbali ili ajifunze mambo ya jamii nyingne nchini kwake..
Ujamaa ulikua mzuri sana na kila kijiji kijiji kilijitegemea kwan kila kijiji kilizalisha vyakula vyakutosha na kila mtu alitumia bidhaa za Tanzania tu, mnamo mwaka 1978 Nyerere alitangaza hali ya Hatari ya Vita na Iddi Amin Dada wa Uganda hali iliyoharibu hali ya hewa ya Watanzania kwani vijiji vyote vilisitisha kuzalisha na vijana kama nguvu Kazi, ndio walikua wanategemewa kwenye mapambano na ndio nguvu Kazi pia, kiukweli Vita (1978__1979) ilisimamisha na kuendesha sana uchumi nchini Tanzania, ilipofika mwaka 1983 hali ilizidi kua mbaya kwa raia hali iliyopelekea Mwalimu kuanza kuomba msaada nje ya Nchi, kumbuka Tanzania ilikua inatumia mfumo wa ujamaa kuendesha nchi na nchi nying zinasera ya ubepari, Ivyo ili usaidiwe na bepali lazima uwe bepali
Kufika mwaka 1984 Mwalimu hali ya nchi haikua nzur kabsa njaa ilikua ni kubwa sana, akaamua kuachia madaraka na kumkabidhi Ally Hassani Mwinyi japo haikua kwa kupenda pengne is ingekua ivyo na yeye asiachia madaraka km marais wengne wa AFRIKA kwani ubepari ni wa awamu kwa awamu, inapofika mwaka 1992 nchi inaruhusu vyama vingi,,,, Swali ni Je is ingekua Vita ya kagera Mwalimu asingeachia madaraka mpaka leo tunapokezana na siasa ya uongo na kwel, #munguibarikiTanzania #MunguibarikiAfrica
Jumatano, 25 Januari 2017
GOOGLE NA TEKNOLOJIA YAKE MPYA YA MAGARI
Kampuni ya Google maarufu sana dunia, kwa mambo ya mtandao imejiingiza katika uwekezaji wa magari, magari hayo yapo kiteknolojia zaid kwan n gari linaloweza kuendeshwa bila ya dereva na lina uwezo waku sense vitu mbali mbali, kama magari ya polisi, ajali mbele na ata hatari inayoweza kutokea, Gari hili linatumia kompyuta kuendeshwa ata ukiwa ndani ya gari hilo hutumii usukani utatumia compyuta, uwekezaji huu umeleta CHANGAMOTO kubwa kwa makampuni kongwe nchini Marekani,..
Moja ya Kampuni ambalo limeonekana kuguswa na jambo hilo n Kampuni maarufu ya Ford, ambayo nayo imeahidi kuingiza sokoni gari zake aina iyo kwa mmujibu wa jarida la Fobes nchini Marekani, Ukuaji wa teknolojia umekua ukikua siku adi siku, ambapo umeelekea nchi zilizoendelea kua na changamoto sana katika biasharA za
Jumamosi, 21 Januari 2017
BILLIONEA KATIKA MAKAZI MAPYA
Wengi wanasema si rais mzuri kwani amekua akiwasema vbaya wanawake na hata watu weusi ambao kama walimsusia ivi, kwan asilimia kubwa ya watu waliokuepo walikua n wazungu wenyewe na wageni wengne, ametangaza kuanza Kazi lasmi Tarehe 23 /01/ jumatatu izi siku za mwisho wa wiki watu watumie kusherekea ushindi wake, pia rais aliepita ametuma maombi kwa wananchi wa Chicago kuwaulkza km wangependa awafanyie chochote, kwa kua sasa n raia wa kawaid kama raia wengne..
Kundi kubwa la wanawake zaidi ya lakimbili wanatalajiwa kufanya maandamano ya Aman jumamosi ya Tarehe 21 /01/ kumkosoa na kauli zake na kukumbusha ikiulu n mahali patakatifu na sio pango la walanguzi,
Alhamisi, 19 Januari 2017
CHA NYUMBANI ICHOOOO, WAMCHANGANI NA WAKIMATAIFA
Wamchangani haoooo kwenye ubora wao wako vizuri saiv ila ubora unhethibitika Zenji wamelegeza kamba uko sasa wanarudi kwao ya nyumban, 2016/2017 VODACOM PREMIER LEAGUE tunasubiri sisi watazamaji Mungu ibariki #Tanzania Mungu ibariki #Africa
KUMBE DODOMA NZURI KULIKO
Jumatatu, 16 Januari 2017
UTANI WA JADI
Kazi unogeshwa na dawa mpira unogeshwa na utani na masihara kidogo japo kwa wengne hupenda kusema watu ila awapend kusemwa ndo mpira ulivyo, kla mtu utamani ashinde kila siku, kwa nchini kwetu uhacmu upo Simba na Yanga, uwa nafurah mechi zikiisha vijembe vya mashabiki na wadau hakika kila kitu kinawenyew ndo maaana ckuiz tuna Bet
ARSENAL KUA CHINI YA DANGOTE
Tajili namba moja AFRIKA Aliko Dangote kutoka Nigeria mmiliki wa Dangote Group yenye kusifika hasa hasa kutoa Saruji yenye mabao makuu uko Nigeria ndio inayompa utajili na kumfanya bilionea ivi karbuni amefanya uwekezaji wa hali ya juu sana Nchin Tanzania kwa kujenga kiwanda kikubwa sana Katika mkoa wa Mtwara na kufanya Tanzania kua nchi yenye kiwanda kikubwa sana ukanda wote wa Afrika Mashariki na Kati, pia Bilionea uyo inasadikika kua mwaka 2016 amepoteza zaid ya Dolla Billion 4.4 kutokana Na kushuka kwa Saruji Nigeria, Bilionea uyo shabiki mkubwa wa Arsenal, ameahid kuinunua timu iyo baada ya miaka minne au mitatu na kusisitiza kua pesa kwake si tatizo kabsa katika kipind cha TV alichofanya Nchin Nigeria,, kwa muujibu wa orodha iliyotolewa na Bloomberg New York Nchin Marekani inaonyesha anautajili wa Dolla Billion 10.9 ambao unamuwezesha kabsa kumfanya chochote na kununua chochote Dunia hapa ameahid kuinunua timu iyo kwan yeye n shabiki mkubwa sana wa Arsenal,,,, Aliko Dangote Muislamu kutoka Nigeria alizaliwa 10/4/1957 pia kiwanda chake Tanzania ndio kinaongoza kwa kumiliki magari mengi na k
USHINDI WAANZA KUONEKANA GABON
AFCON imeanza kunogA uko GABON, Algeria na Tunisia zilitoka sale ya mabao. Mwili kwa. Mawili mechi ilkua ngumu na kwel siku zote mwanzo mtamu mechi ilikua ngumu pande zote kwingineko Senegal waliichalaza Tunisia mabao Mawili kwa bila , ivyo mechi hizo zimekamilisha michezo ya kund B, ngoma bado tamu na ngumu pande zote michezo itaendelea kwa kundi C, kaa na infomer wako LUI nkupe stori njema
Jumapili, 15 Januari 2017
AFCON GABON NGOMA BADO NZITO
Kombe la mataifa AFRIKA mechi zilizokwisha pgwa, ila ngoma bado ngumu kwa kila timu kwani droo zimetawala na kila timu inaonekana kujiandaa vizuri
BAADA YA MUNGU Ni MZUNGU TEKNOLOJIA INAKUA KWA SPEED KILA SiKU CHECK HII
Ukuaji wa teknolojia umekua ukikua siku adi siku, na kurahisisha vitu vingi sana, teknolojia inakua kwa speed sana hasa kwenye nchi zilizoendelea kiuchumi, mpango wa nchi zilizoendelea ni kwamba kufika mwaka 2050 watu wawe manaongoza tu na co kufanya chochote yaan kila mtu awe meneja na mashine zifanye kila kitu, teknolojia sasa imekuja na saa ambayo inaweza kutumika kama simu na kifaa chakuifadhia vitu pia kwan inaweka memory care na lain pia na uwezo wakuunganisha na simu aina yoyote windows, I phone Android na simu yoyote yenye uwezo wa bluetooth zimeshafika Tanzania ukiitaji nichek

































