Alhamisi, 21 Septemba 2017
NICKY MINAJ KAINGIZA RASMI BIDHAA YAKE YA LIPSTIC SOKONI
Rapper wa kike kutoka Young Money Nicki Minaj amekuja lipstik yake baada ya kutangaza kuachia rasmi bidhaa zake hizo sokoni mwezi huu.
Nicki ambaye alitangaza kuachia bidhaa hizo mwezi uliopita kupitia kampuni ya M.A.C amefanya hivyo kwa kuachia aina mbili za lipstick ambazo ni NickisNude na ThePinkprint, zitakazouzwa kuanzia dola 18 sawa na kiasi cha zaidi ya shilingi elfu arobaini ivi za kibongo 40,000\=
“Ok I’m about to announce my winners on twitter. This might be the illest gift set I’ve ever seen. My fans deserve it. They’re gonna be so happy. But mad jealous too if they don’t win. Awww @maccosmetics you’re getting like 20 lipsticks and 2 glosses. Yikes. Plus my signature colors #ThePinkprint & #NickisNude We’ve officially launched in the US!!!!!!,” ameandika mrembo huyu kupitia mtandao wa Instagram.
uwekezaji uleta matokeo mazuri ra badae ata TANZANIA tumemuona Nasibu Abdul Diamond akiwa msanii wakwanza Tanzania kufanya uwekezaji mkubwa katika perfume zake aina ya Chibu perfume na Karanga , ambapo bidhaa zote zinaonyesha kufanya vizuri sokoni , msanii mwingne kutoka bongo ambaye ame anauwekezaji kama huo ni Joh makini ambae bado haijawa officil ila ana tarajia kuachia condom zake MAKINI condom
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni