Jumatatu, 16 Januari 2017

UTANI WA JADI



Kazi unogeshwa na dawa mpira unogeshwa na utani na masihara kidogo japo kwa wengne hupenda kusema watu ila awapend kusemwa ndo mpira ulivyo, kla mtu utamani ashinde kila siku, kwa nchini kwetu uhacmu upo Simba na Yanga, uwa nafurah mechi zikiisha vijembe vya mashabiki na wadau hakika kila kitu kinawenyew  ndo maaana ckuiz tuna Bet

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni