Kazi unogeshwa na dawa mpira unogeshwa na utani na masihara kidogo japo kwa wengne hupenda kusema watu ila awapend kusemwa ndo mpira ulivyo, kla mtu utamani ashinde kila siku, kwa nchini kwetu uhacmu upo Simba na Yanga, uwa nafurah mechi zikiisha vijembe vya mashabiki na wadau hakika kila kitu kinawenyew ndo maaana ckuiz tuna Bet
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni