Dodoma iyooo makao makuu ya serikali kiukwel panafaa kua makao makuu ya serikali pazuri ki muonekano na ata hali ya hewa ukiwa Dodoma, unaona tofaut ya asubuh, mchana na usiku yaan ucku unajua kwel usiku umefika kuna hali ya hewa flan iv kama umetoka Dar lazma uwahi kuoa kutokana Na kiubalidi fulani iv, mwaka jana Septemba Dr John Pombe Magufuli aliiambia serikali inabidi ihame na kwenda Dodoma kwan ndio makao makuu ya serikali kutokana Na kua ndo Center ya Tanzania kiukwel ukiwa Dodoma ni rahis sana kufika sehem yoyote Tanzania ata mpangilio wa miundo mbinu co sawa na jiji lolote adi kufika mwaka huu mwezi wa pili inabidi serikali iwe kule kwan ata kampuni lililopewa jukumu la kuboresha miundo mbinu CRCC chini ya mwenyekiti wake bwana Fengchao Meng adi mwezi wa Pili mwaka 2017 wanajukumu la kusogelea malengo ya serikali kwa hatua kubwa ili iweze kuhamia uko mapema, Wanao tarajiwa kuhama ni Mawaziri na Manaibu wote na ofisi zote za Tamisemi zimeagizwa kupeleka makao makuu huko mapema mwaka huu, pia kuna ujenzi wa uwanja mkubwa wa kisasa wa michezo, ikumbukwe wazir mkuu Kassim Majaliwa kasema tayar kashaamia Dodoma Mungu ibariki #Tanzania Mungu ibariki #Africa



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni