AFCON imeanza kunogA uko GABON, Algeria na Tunisia zilitoka sale ya mabao. Mwili kwa. Mawili mechi ilkua ngumu na kwel siku zote mwanzo mtamu mechi ilikua ngumu pande zote kwingineko Senegal waliichalaza Tunisia mabao Mawili kwa bila , ivyo mechi hizo zimekamilisha michezo ya kund B, ngoma bado tamu na ngumu pande zote michezo itaendelea kwa kundi C, kaa na infomer wako LUI nkupe stori njema
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni