Jumatatu, 16 Januari 2017

ARSENAL KUA CHINI YA DANGOTE





Tajili namba moja AFRIKA Aliko Dangote kutoka Nigeria mmiliki wa Dangote Group yenye kusifika hasa hasa kutoa Saruji yenye mabao makuu uko Nigeria ndio inayompa utajili na kumfanya bilionea ivi karbuni amefanya uwekezaji wa hali ya juu sana Nchin Tanzania kwa kujenga kiwanda kikubwa sana Katika mkoa wa Mtwara na kufanya Tanzania kua nchi yenye kiwanda kikubwa sana ukanda wote wa Afrika Mashariki na Kati,  pia  Bilionea uyo inasadikika kua mwaka 2016 amepoteza zaid ya Dolla Billion 4.4  kutokana Na kushuka kwa Saruji Nigeria, Bilionea uyo shabiki mkubwa wa Arsenal, ameahid kuinunua timu iyo baada ya miaka minne au mitatu na kusisitiza kua pesa kwake si tatizo kabsa katika kipind cha TV alichofanya Nchin Nigeria,, kwa muujibu wa orodha iliyotolewa na Bloomberg New York Nchin Marekani inaonyesha anautajili wa Dolla Billion 10.9 ambao unamuwezesha kabsa kumfanya chochote na kununua chochote Dunia hapa ameahid kuinunua timu iyo kwan yeye n shabiki mkubwa sana wa Arsenal,,,, Aliko Dangote Muislamu kutoka Nigeria alizaliwa 10/4/1957   pia kiwanda chake Tanzania ndio kinaongoza kwa kumiliki magari mengi na k

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni