Jumatano, 25 Januari 2017
GOOGLE NA TEKNOLOJIA YAKE MPYA YA MAGARI
Kampuni ya Google maarufu sana dunia, kwa mambo ya mtandao imejiingiza katika uwekezaji wa magari, magari hayo yapo kiteknolojia zaid kwan n gari linaloweza kuendeshwa bila ya dereva na lina uwezo waku sense vitu mbali mbali, kama magari ya polisi, ajali mbele na ata hatari inayoweza kutokea, Gari hili linatumia kompyuta kuendeshwa ata ukiwa ndani ya gari hilo hutumii usukani utatumia compyuta, uwekezaji huu umeleta CHANGAMOTO kubwa kwa makampuni kongwe nchini Marekani,..
Moja ya Kampuni ambalo limeonekana kuguswa na jambo hilo n Kampuni maarufu ya Ford, ambayo nayo imeahidi kuingiza sokoni gari zake aina iyo kwa mmujibu wa jarida la Fobes nchini Marekani, Ukuaji wa teknolojia umekua ukikua siku adi siku, ambapo umeelekea nchi zilizoendelea kua na changamoto sana katika biasharA za
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)




Hakuna maoni:
Chapisha Maoni