Jumapili, 15 Januari 2017
BAADA YA MUNGU Ni MZUNGU TEKNOLOJIA INAKUA KWA SPEED KILA SiKU CHECK HII
Ukuaji wa teknolojia umekua ukikua siku adi siku, na kurahisisha vitu vingi sana, teknolojia inakua kwa speed sana hasa kwenye nchi zilizoendelea kiuchumi, mpango wa nchi zilizoendelea ni kwamba kufika mwaka 2050 watu wawe manaongoza tu na co kufanya chochote yaan kila mtu awe meneja na mashine zifanye kila kitu, teknolojia sasa imekuja na saa ambayo inaweza kutumika kama simu na kifaa chakuifadhia vitu pia kwan inaweka memory care na lain pia na uwezo wakuunganisha na simu aina yoyote windows, I phone Android na simu yoyote yenye uwezo wa bluetooth zimeshafika Tanzania ukiitaji nichek
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni