Michuano ya AFCON mwaka 2017 inayofanyika #GABON ufunguzi umefanyika Tarehe 14/01/ fainali izi znategemea kua nzuri kutokana Na kila timu kujiandaa vizuri ukanda wetu umekosa timu kutuwakilisha ila Mungu c adhuman kijana wetu Diamond amebeba bendela yetu na kubaatika kuwa mmoja wa watumbuizaji katika ufunguzi huo, inabidi tujifunze chochote angalau mwaka ujao tuweze shiriki na sisi co kufukuza makocha na kubebeshana lawama wenyewe kwa wenyewe Mungu ibariki #Tanzania Mungu ibariki #Africa na
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni